Wana wa Clouds Tv wakiwa wamepozi na mmoja wa wanamuziki aliokuja nao Buster Rhymes jioni hii kwa ajili ya makamuzi ya tamasha la Fiesta One Love,nje ya hoteli ya Kempisk Kilimanjaro Hotel jijini Dar
Buster Rhymes na crew yake wakiwasili katika hoteli ya Kempisk Kilimanjaro Hotel ambapo wamefikia jioni hii
Mwanamuziki Buster Rhymes akichat na mmoja wa wadau wa muziki
Mtangazaji wa kipindi cha Muvi Leo ndani ya Leo Tena (Clouds FM) na Clouds TV Zamaradi Mketema akiwa amepozi na mmoja wa wanamuziki aliokuja nao Buster Rhymes jiini hii

0 comments:
Post a Comment