TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, October 21, 2009

UCHAGUZI WA RAIS TASABA,BANGALORE INDIA.

8:05 PM


Ndugu WATANZANIA Tunaelekea kwenye Uchaguzi wa Rais wa TASABA,umefika wakati wa kupata Rais Bora,Mpenda Haki,Mleta Maendeleo na si Fisadi,Mwenye ushirikiano kwa kila Mtanzania .Tafadhali tunaomba Umpigie Kura Ndugu yetu FIDELIS MSOMEKELA katika nafasi ya Urais TASABA.Ushirikiano wako ndio mwanzo wa Uongozi Bora.



Tafadhali mpigie kura Bwana FIDELIS MSOMEKELA

Tafadhali mpigie kura Bwana FIDELIS MSOMEKELA
Pamoja Tutaweza TASABA

Usipoteze Kura Zako..Viongozi wetu niwalewale....

Ndugu wa Tanzania.TASABA oyeee!!!!Watanzania oyeee.Ndugu Mtanzania wa BANGALORE maendeleo huletwa na kiongozi bora na si bora kiongozi kwa hiyo ukitaka maendeleo na Uongozi bora usipoteze kura yako mchague ANGEL TUNGARAZA Kuwa Makamu wa Rais.Kwa pamoja tutaweza............

Mchague ANGEL TUNGARAZA kuwa makamu wa Rais

Mchague ANGEL TUNGARAZA kuwa makamu wa Rais
Angel Tungaraza

Mchague kama muweka hazina Bwana WILLIAM G MZIRAY

Kwa Mafanikio na Maendeleo ya TASABA na WATANZANIA wote Kwa Ujumla chagua kiongozi anaeweza kuleta mabadiliko makubwa na yenye maana.Usipoteze kura yako Bure Chagua William G Mziray kama Mtunza hazina wa TASABA.

Hii ni kwa maendeleo ya kila mtanzania.


WILLIAM G MZIRAY
VISIT WWW.BASHMANCREW.COM

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA