tutakunywa juice? TANZANIA BREWERIES YAUNGUA MOTO
Usiku wa kuamkia leo kiwanda cha bia TBL kimewaka moto upande wa crates tupu, ni moto mkubwa sana, hadi sasa haijajulikana hasara iliyopatikana.hawa watu wapo makini sana na majanga sasa hili sijui ni nani ataevishwa shanga!! chanzo insider
0 comments:
Post a Comment